Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungungumza na Askofu Mpya wa Dayosisi ya Centra Tanganyika,Dkt. Dickson Chilongani (kulia) na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglican Tanzania , Dkt. Jacob Chimeledya katika Ibada ya kumweka wakfu Askofu Chilongani kwenye Kanisa Kuu la Anglican mjini Dodoma Novemba 23, 2014, (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).