Saturday, November 01, 2014

KUMBUKUMBU



KUMBUKUMBU
MAREHEMU MRS MAUA MPANKULI 

KWA KILA JAMBO KUNA MAJIRA YAKE NA WAKATI KWA KILA KUSUDI CHINI YA MBINGU.

MHU 3:1

LEO TAREHE 1 NOVEMBA 2014 UMETIMIZA MWAKA MMOJA KAMILI TANGU UITWE NYUMBANI KWA BWANA. INGAWA TUPO MBALI NA WEWE, LAKINI UMETUTOKA KIMWILI TU, KIROHO TUKO NA WEWE.

UNAKUMBUKWA SANA NA MUME WAKO MPENDWA MARTIN MPANKULI, WATOTO WAKO WAPENDWA JOYCE, ANGELA, GEOFREY, JACKSON, ANTONY, KANALI NA ALEX, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI.

RAHA YA MILELE UMPE EEH BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE, APUMZIKE KWA AMANI.
AMINA!