Na Yusuph Kileo
          Kumekua na                  makongamano, Mikutano na warsha mbali mbali zihusuzo                  maswala ya usalama mitandao katika mataifa mbali mbali                  ambapo mijadala ya kina kuhusiana na maswala ya usalama                  mitandao hufanywa. 
          Mijadala yenye nia                  na madhumuni ya kuangazia macho maswala ambayo hivi sasa                  yamekua yakiitikisa dunia. Tanzania kupitia Tume ya                  Taifa ya Sayansi na Teknolojia(COSTECH) kwa kushirikiana                  na Tume ya Sayansi na Teknolojia kwa Maendeleo ya nchi                  za Kusini(COMSAT) na taasisi nyingine wameweza kuandaa                  warsha ya nne ambapo imefanyika kwa mara ya kwanza                  nchini Tanzania. 
          Taarifa zaidi juu ya                  tukio hili pamoja na viambatanishi vingine muhimu                  vinaweza kusomeka "HAPA"  "http://ykileo.blogspot.com/2014/10/warsha-ya-maswala-ya-usalama-mitandao.html
                     KATIBU MKUU WIZARA                  YA SAYANSI MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA PROF. PATRICK                  MAKUNGU AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA WARSHA                  YA USALAMA MITANDAO AMBAPO TANZANIA IMEKUA MWENYEJI                  WAKE.
                     MKURUGENZI MKUU WA                  COSTECH NCHINI  DR. HASSAN MSHINDA AKITOA MANENO                  MACHACHE KATIKA UFUNGUZI WA WARSHA HIYO.
                     WASHIRIKI  KUTOKA                  KATIKA MATAIFA MBALI MBALI WAKIENDELEA NA WARSHA. 
        .jpg)
.jpg)
.jpg)
 
