Sunday, October 12, 2014

RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA MEJA JENERALI MSTAAFU MUHIDDIN MFAUME KIMARIO MJINI MOSHI


RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA MEJA JENERALI MSTAAFU MUHIDDIN MFAUME KIMARIO MJINI MOSHI
 
 Ma-Meja wakiwa wamebeba Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Meja Jenerali mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) huku wakisindikizwa Ma-Kanalki wakiwasili katika makaburi ya Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro Jumamosi Oktoba 11, 2o14

  Rais kikwete akiwa na Jenerali Mstaafu Mirisho Sarakikya (kushoto kwa Rais) na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Dkt Ibrahim Msengi (kulia) na Meja Jenerali  Ezekiel  Kyunga, mwakilishi wa Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange (kulia kwa Rais) wakati mwili wa marehemu Meja Jenerali Mstaafu Muhiddin Mfaume Kimario ukiwasili katika makaburi ya Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro Jumamosi Oktoba 11, 2o14
 Mwili wa marehemu ukiwasili katika makaburi ya Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro Jumamosi Oktoba 11, 2o14
 Rais Jakaya  Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la Meja Jenerali Mstaafu Muhiddin Mfaume Kimario wakati wa mazishi katika makaburi ya Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro Jumamosi Oktoba 11, 2o14
 Rais Kikwete akimfariji mjane wa marehemu alipokwenda kutoa pole baada ya mazishi
  Rais Kikwete akiwafariji familia  wa marehemu alipokwenda kutoa pole baada ya mazishi
 Rais Kikwete akiendelea kuwafariji familia  wa marehemu alipokwenda kutoa pole baada ya mazishi
 Rais Kikwete akiweka sahihi kwenye kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu Meja Jenerali Mstaafu Muhiddin Mfaume Kimario mjini Moshi Jumamosi Oktoba 11, 2014
 Waombolezaji wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Meja Jenerali mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) Marehemu Muhiddini Kimario katika  makaburi ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kwa mazishi Jumamosi Oktoka 11, 2014.
 Waombolezaji wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu Meja Jenerali mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) Marehemu Muhiddini Kimario katika  makaburi ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kwa mazishi Jumamosi Oktoka 11, 2014. PICHA NA IKULU