Thursday, October 09, 2014

kumbukumbu na tangazo la misa


kumbukumbu na tangazo la misa
Mzee Alfredy Raphael Kiswaga 
Baba leo unatimiza miaka kumi na tano toka ulipotutoka. Mtoto wak Fredy Kiswaga, Kaka na dada pamoja na ndugu, jamaa, marafiki na majirani wanakukumbuka siku ya leo, huku wakiwa na imani kuwa japo kimwili haupo nao, lakini kimawazo na upendo viko pale pale.
Siku ya Jumapili Oktoba 12, 2014  kutakuwa na misa ya kumbukumbukatika Kanisa Katoliki la Mwenge la Mt. Maximilian saa mbili asubuhi. 
Nyote mnakaribishwa kumkumbuka na kumuombea 
Mzee Alfredy Raphael Kiswaga.
Mbarikiwe sana.