Saturday, June 11, 2011

CHRISTINA WILIAM AWA MISS IRINGA 2011

Kama ilivyoandikwa na Francis Godwin


Mshiriki Christina Wiliam amefanikiwa kutwaa taji la Voda Com Miss Iringa usiku huu huku Ritha Justine akishika nafasi ya pili , na Zay Mselemu akishika nafasi ya tatu nafasi ya nne imekwenda kwa Happines James na nafasi ya tano imekwenda kwa Jackline Erick

BOFYA HAPA