Kama ilivyoandikwa na Francis Godwin

Mshiriki Christina Wiliam amefanikiwa kutwaa taji la Voda Com Miss Iringa usiku huu huku Ritha Justine akishika nafasi ya pili , na Zay Mselemu akishika nafasi ya tatu nafasi ya nne imekwenda kwa Happines James na nafasi ya tano imekwenda kwa Jackline Erick
BOFYA HAPA
BOFYA HAPA