Sunday, October 12, 2014

BALOZI KAMALA APOKEA ZAWADI TOKA KWA MWENYEKITI WA JIJI LA Turnhout, Ubelgiji



BALOZI KAMALA APOKEA ZAWADI TOKA KWA MWENYEKITI WA JIJI LA Turnhout, Ubelgiji
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Jiji la Turnhout la Ubelgiji Mhe. Peter Segers baada kufungua rasmi Maonesho Wasanii wa kuchora wa nchi mbalimbali wakiwemo wa Tanzania wanaojulikana kwa jina la Tinga Tinga. Maonesho hayo yataendelea hadi mwishoni mwa mwezi huu.