Saturday, September 27, 2014

MKUTANO WA MWAKA WA JET WAFANYIKA DAR



MKUTANO WA MWAKA WA JET WAFANYIKA DAR
Mkurugenzi Mtendaji wa JET, John Chikomo akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya uendeshaji wa chama cha waandishi wa habari za mazingira kwenye mkutano huo.
Baadhi ya viongozi wa chama cha waandishi wa habari za mazingira JET katika mkutano wa mwaka wa chama hicho ulioganyika jijini Dar Es Salaam, kutoka kushoto ni Mkurugenxi Mtendaji wa JET John Chikomo, Mwenyekiti wa JET Johnson Mbwambo, Katibu Mtendaji wa JET Chris Rweyemamu na Makamu Mwenyekiti wa JET Aisha Dachi.
Baadhi ya waandishi wa habari za mazingira ambao pia ni wanachama wa JET na wajumbe wa mkutano huo wakiwa katika majadiliano wakati mkutano ukiendelea jijini Dar Es Salaam.
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria mkutano huo wakiwemo waandishi wa habari za mazingira kutoka mikoa mbalimbali nchini ambao ni wananchama wa JET wakipitia nyaraka mbalimbali za mkutano huo­ (picha zote na Vedasto Msungu wa JET)