VIDEO:Taarifa ya Habari Kutoka ITV: Wakuu wa nne wa nchi za Afrika wamesema bara la Afrika kamwe halitaweza kupata mafanikio kama wataendelea kutumia mbinu, akili na nyenzo zilezile na huku wakitegemea kupata mafanikio tofauti na badala yake wajipange upya na wafikiri tofauti.
VIDEO:Taarifa ya Habari Kutoka ITV: Wakuu wa nne wa nchi za Afrika wamesema bara la Afrika kamwe halitaweza kupata mafanikio kama wataendelea kutumia mbinu, akili na nyenzo zilezile na huku wakitegemea kupata mafanikio tofauti na badala yake wajipange upya na wafikiri tofauti.