Wednesday, May 14, 2014

NJEMBA ALA KICHAPO KITAKATIFU KATIKA MKUTANO WA UKAWA



Njemba huyo akipokea kichapo kutoka kwa wafuasi wa Ukawa mkoani Moro.
NJEMBA mmoja amepokea kipigo kikali kutoka kwa wafuasi wa Ukawa waliokuwa na mkutano mkoani Morogoro jioni hii baada ya kudaiwa kuwa miongoni mwa waliomteka Mbunge Rose Kamli wakati wa kampeni jimboni Kalenga, mkoani Iringa.