Wednesday, October 03, 2012

RASHID MATUMLA KUVAANA NA MKENYA, MTWARA



Tamasha la kimataifa la ngumi litakalofanyika mkoani Mtwara katika ukumbi wa MAKONDE BEACH RESOLT .

Tamasha hilo litasimamiwa na ORGANAIZESHENI YA NGUMI ZA KULIPWA TANZANIA - TPBO, na maandalizi ya tamasha hilo yanaendelea vizuri na bondia Patrick Amote kutoka Kenya anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 23-10-2012 tayari kuanza safari ya kuelekea mkoani Mtwara tarehe 24 -10 -2012.