Tuesday, September 18, 2012

MASHINDANO YA UBINGWA WA TAIFA YAANZA JIJINI DAR ES SALAAM



 Bondia Emmanuel Mogela wa mkoa wa kimichezo wa Ilala akiwa chini baada ya kupigwa konde na bondia, Said Hofu wa JKT katika mashindano ya Ubingwa wa Taifa 2012 kwenye Uwanja wa Ndani wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Said Hofu alishinda kwa RSCO.
Kocha wa timu ya Ngumi ya mkoa wa kimichezo Ilala, Rajabu Mhamila akimuandaa mchezaji wake, Eammanuel Mogela kabla ya kupanga ulingoni na kuipata kichapo kutoka kwa mpinzani wake, Said Hofu wa JKT.Picha zote na Francis Dande