Friday, September 21, 2012

MAANDAMANO YA WANANCHI KUPINGA UWEPO WA RPC KAMUHANDA YAPIGWA STOP



Polisi wakiwa tayari eneo la tukio kuzuia maandamano ya wananchi wa Iringa Leo hiiKi

 Mbunge wa Iringa mjini kupitia chadema Peter Msigwa akizungumza na wananchi na wanahabari kuhusu kusitishwa kwa maandamano ya kupinga kuwepo kwa RPC Kamuhanda
Mbunge wa Iringa mjini Msigwa akitoka eneo la ofisi akielekea hospitali kwa matibabu ya mguu wake baada ya kusitishwa kwa maandamano