Bondia Sande Kizito wa Uganda
Bondia
Sande Kizito katikati akiwa amewasili katika jiji la Dar es salaam
usiku wa leo akitokea Uganda kwa ajili ya mpambano wake na Ramadhani
Shauri siku ya Idi pili kushoto ni mwenyeji wake aliyempokea Yasini
Abdalla