Thursday, April 14, 2016

WAZIRI UMMY MWALIMU AZINDUA BARAZA LA USAJILI LA MAZINGIRA


WAZIRI UMMY MWALIMU AZINDUA BARAZA LA USAJILI LA MAZINGIRA
Waziri afya ,maendeleo ya jamii,jinsia ,wazee na watoto Ummy Mwalimu akiongea na wajumbe wa baraza jipya la usajili wa wataalam wa afya ya mazingira nchini(hawapo pichani) kushoto ni Mganga Mkuu wa Serikali Prof: Bakari Mohammad
Baadhi ya wajumbe wa baraza hilo pamoja na maofisa mazingira wakifuatilia hotuba ya Mh. Waziri Ummy Mwalimu
Mwenyekiti mpya wa baraza la usajili wa wataalam wa afya ya mazingira nchini Bartholomayo Ngaeje(katikati) akitoa neon la shukrani kwa waziri wa afya,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto(hayupo pichani) mara baada ya kuzinduliwa kwa baraza hilo,kulia ni msajili wa baraza hilo Iddy Hoyange na kulia ni njumbe wa baraza hilo toka ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali,hafla hiyo imefanyika kwenye ukumbi wa wizara hiyo
Waziri wa afya,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto Ummy Mwalimu akimkabidi cheti cha Uongozi kwa kuthamini mchango wake kwa baraza hilo aliyekuwa mwenyekiti wa awamu ya pili Bi.Mary Swai