Tuesday, March 08, 2016

Wakinamama Jijini Arusha watoa msaada Gereza la Kisongo


Wakinamama Jijini Arusha watoa msaada Gereza la Kisongo
Sehemu ya wakinamama wakazi wa Jiji la Arusha, walipotembelea Gereza kuu la kisongo Mkoani humo, wakiwa na mahitaji mbalimbali ikiwa ni zawadi kwa ajili ya Wafungwa waliopo kwenye Gereza hilo, wakati wa kusherehekea Maadhimisho ya siku ya Wanawake Dunia wakiongozwana Naibu Meya wa Jiji la Arusha, Viola Lazaro. Picha zote na Mahmoud Ahmad, Arusha.