Monday, March 21, 2016

Rais Magufuli leo atekeleza agizo la Mkuu wa mkoa la kuwasilisha silaha jeshi la Polisi kwa ajili ya ukaguzi.


CeEgAMNWAAAdakT.jpg
CeEhHtOXIAAdHrS.jpg
CeEhZy-XIAAO-0B.jpg

CeEh7ELWEAAS96w.jpg
CeEfOqCW0AAHhVa.jpg

Amewataka wananchi wote wanaomiliki silaha katika jiji la Dar kujitokeza kuhakiki silaha zao kama alivyoagiza mkuu wa mkoa.