Monday, March 07, 2016

Kongamano la Wanawake lafana sana Serena Hoteli, Jijini Dar leo



Kongamano la Wanawake lafana sana Serena Hoteli, Jijini Dar leo
Keki-ikikatwa-na-Emelda-Mwamanga-kutoka-Vital-Voices-Global-Partnership-kwa-kushirikiana-na-Shamim-Khan-kulia-na-Edna-Mdoe-wakisoma-hutuba-kutoka-Tazania-women-Interfaith-Network. 
Keki ikikatwa na Emelda Mwamanga kutoka Vital Voices Global Partnership kwa kushirikiana na Shamim Khan kulia na Edna Mdoe kutoka Tazania women Interfaith Network.Shamim Khan (kulia) na Edna                  Mdoe wakisoma hutuba kutoka-Tazania women Interfaith                  Network Shamim Khan (kulia) na Edna Mdoe wakisoma hotuba kutoka Tazania women Interfaith Network.
Baadhi ya wanawake                  walioshiriki katika kongamano la wanawake lililofanyika                  Serena Hoteli jijini Dar es Salaam jana wakifuatilia                  mada anuai. Kongamano hilo liliandaliwa na Taasisi ya                  Vital Voices Global Partnership limefanyika kuelekea                  maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo                  huadhimishwa kila mwaka ifikapo Machi 8
Baadhi ya wanawake walioshiriki katika kongamano la wanawake lililofanyika Serena Hoteli jijini Dar es Salaam jana wakifuatilia mada anuai. Kongamano hilo liliandaliwa na Taasisi ya Vital Voices Global Partnership limefanyika kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka ifikapo Machi 8.