Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akiongea na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya mauaji ya halaiki ya Rwanda (ICTR) Jaji Hassan B. Jallow anayemaliza muda wake. Jaji Jallow alifika ofisini kwa Mhe. Mwakyembe leo (17/3/2016) kwa ajili ya kumuaga rasmi.