Waziri                  wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe                  (kushoto) akiongea na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa                  Mahakama ya Kimataifa ya mauaji ya halaiki ya Rwanda                  (ICTR) Jaji Hassan B. Jallow anayemaliza muda wake. Jaji                  Jallow alifika ofisini kwa Mhe. Mwakyembe leo                  (17/3/2016) kwa ajili ya kumuaga rasmi.
         
