Saturday, December 12, 2015

Kampuni ya Mawakili ya Yakubu & Associates Chamber yatwaa tuzo mbili


Kampuni ya Mawakili ya Yakubu & Associates Chamber yatwaa tuzo mbili
 Kampuni ya Mawakili ya Yakubu & Associates Chamber usiku wa jumamosi wamezawadiwa tuzo mbili za Mwajiri Bora wa Mwaka 2015 na Chama cha Waajiri Nchini (ATE). Pichani juu ni vikombe vilivyozawadiwa kwa Yakubu & Associates Chamber kama Mwajiri Bora wa Mwaka 2015 Biashara za Kati
 Wadau wa Kampuni hiyo, Meneja wa Fedha, Husna Mkony,Naibu Mtendaji Mkuu (Biashara) Dr Timothy Kyepa(kati) na Meneja Utumishi na Rasilimali watu Ibrahim Pius,
Wakili Mtendaji, Saidi Yakubu akinyanyua juu vikombe walivyoshinda kama Mwajiri Bora wa Mwaka 2015. Picha kwa hisani ya Yakubu Chambers.