

Mganga Mfawidhi Zahanati ya Kimara, Dk. Alphoncina Mbinda (kushoto) akitoa neno la shukrani kwa Benki ya NMB Plc mara baada ya kukabidhiwa mashine mbalimbali pamoja na vifaa vya kutibia wagonjwa katika Zahanati hiyo.

Baadhi ya maofisa wa Benki ya NMB Plc pamoja na manesi wa Zahanati ya Kimara ya jijini Dar es Salaam wakipokea baadhi ya vifaa vya msaada vilivyotolewa na benki ya NMB Plc.
Baadhi ya maofisa wa Benki ya NMB Plc pamoja na manesi wa Zahanati ya Kimara ya jijini Dar es Salaam wakipokea baadhi ya vifaa vya msaada vilivyotolewa na benki ya NMB Plc.
