Sunday, April 19, 2015

Edward Ngoyai Lowassa ashiriki matembezi na Temeke Family Jogging Club kulaani na kupinga mauaji ya albino



Edward Ngoyai Lowassa ashiriki matembezi na Temeke Family Jogging Club kulaani na kupinga mauaji ya albino

Asubuhi ya leo Edward lowassa ameungana na Temeke Family 

Jogging Club kwenye matembezi ya kulaani na kupinga mauaji ya 

ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi. Hatua za kumaliza ukatili 

huu zinaanza na kila mmoja wetu kushiriki katika mapambano 

haya. ameshiriki matembezi ya kilomita 5 kuanzia Uwanja wa 

Taifa hadi TCC Chang'ombe,