Saturday, January 03, 2015

WAGAWA VIPEPERUSHI MABARABARANI

 Makampuni mengi hapa jijini yamebuni utaratibu wa kuwatumia vijana wanaotembea kwa kutumia viatu vya matairi (Roller Skating) katika kusambaza ujumbe na matangazo yao mbali mbali,jambao hilo ni jema sana hasa ukizingatia kuwa sasa hivi swala la ajira ni changamoto.Vijana hawa hufanya kazi ya kugawa vipeperushi kwa wenye magari na watembea kwa miguu katika makutano makuu wa mabarabara hapa jijii Dar,kama walivyokuta na Kamera Mani wa Globu ya Jamii maeneo ya Magomeni Mapipa hivi karibuni.
Mmoja wa vijana hao akipiga misele barabarani.