Sunday, January 04, 2015

Naibu waziri wa maji Mhe Amos Makalla avamia mkoa wa Dar es salaam, abaini wizi mkubwa wa maji



Naibu waziri wa maji Mhe Amos Makalla avamia mkoa wa Dar es salaam, abaini wizi mkubwa wa maji
Naibu waziri Maji Mhe Amos Makalla leo amefanya ziara ya kustukiza mkoa Dar es salaam, ambapo amekamata wezi wa maji 12, amewatimua kazi mameneja wa maji Boko na Kimara na pia ametangaza operasheni kubwa zaidi ya kusaka wezi wa maji jijini Dar es salaam
 Naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akiangalia miundombinu ya wizi wa maji Magomeni
 Naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akitembelea kitongoji cha Manzese kusaka wezi wa maji
 Naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla  akiangalia matenki yanayoingizwa maji ya wizi manzese
 Naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla  akimsikiliza Mwananchi akielezea jinsi wizi wa maji unavyoendelea Manzese
Naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla  akiwa katika operesheni ya kusaka wezi wa maji Boko