Friday, November 14, 2014

Mkutano wa Mawaziri wa Mifugo wafunguliwa leo jijini Nairobi,Kenya


Mkutano wa Mawaziri wa Mifugo wafunguliwa leo jijini Nairobi,Kenya
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,Dr. Titus Mlengeya Kamani (katikati) akishiriki kwenye mkutano wa Mawaziri wenye dhamana ya Mifugo,Mkutano huo umefanyika Katika ukumbi wa mikutano wa AU-IBR Jijini Nairobi, Kenya. Lengo la mkutano ni kujadili Mkakati wa Maendeleo ya Mifugo Afrika kwa kipindi cha 2015-2035
Sehemu ya Mawaziri wenye dhamana ya Mifugo wakiwa kwenye Mkutano huo.
Picha ya pamoja ya Mawaziri wenye dhamana ya Mifugo.