Friday, November 14, 2014

makamu mwenyekiti wa UVCCM Mboni Mhita atembelea ubalozi wetu marekani



makamu mwenyekiti wa UVCCM Mboni Mhita atembelea ubalozi wetu marekani
 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe.Liberata Mulamula akiwa katika picha pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Umaaja wa Vijana wa CCM  Mhe.Mboni Mhita (kulia)  na Bi. Loveness Mamuya  kabla (juu) na baada (chini) ya Mhe.Mulamula kufanya mazungumzo na Mhe.Mboni ubalozini Washington DC