Monday, November 10, 2014

KATIBU MKUU KATIBA NA SHERIA ARIPOTI OFISINI KWAKE LEO



KATIBU MKUU KATIBA NA SHERIA ARIPOTI OFISINI KWAKE LEO
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akisaini kitabu mara baada ya kuripoti katika ofisini leo (Jumatatu, Novemba 10, 2014).
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi (kulia) ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akifurahi na watumishi wa Wizara hiyo, Bi. Joyce Mtuma (kushoto) na Bi. Fatuma Ngodoki, mara baada ya kuripoti katika ofisini leo (Jumatatu, Novemba 10, 2014).
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Maimuna Tarishi (kulia) ambaye amehamishiwa Wizarani hapo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni akiwa katika ofisi yake leo (Jumatatu, Novemba 10, 2014). (Picha na Said Benjamin)