Monday, October 20, 2014

TAARIFA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI (MSTAAFU) ROLAND MAKUNDA




TAARIFA YA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI (MSTAAFU) ROLAND MAKUNDA


JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO
 
Simu ya Upepo   : "N G O M E"          Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo : DSM  22150463      Sanduku la Posta 9203,
Telex                     : 41051                       DAR ES SALAAM, 20, October, 2014
Tele Fax                : 2153426
Barua pepe       ulinzimagazine@yahoo.co.uk
Tovuti                  www.tpdf.mil.tz
                  
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
 
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa ya ratiba ya kuaga mwili wa Meja Jenerali Roland Makunda (Mstaafu) aliyefariki tarehe  16 Octoba 2014 wakati akipata matibabu katika Hospitali Kuu ya Kijeshi Lugalo.
 
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mheshimiwa Dr Hussein Mwinyi  leo tarehe 20 Octoba 2014 mnamo saa nne kamili anatarajia kuongoza Makamanda, wapiganaji na watumishi wa umma katika kuaga mwili wa Marehemu Meja Jenerali Roland Makunda kwenye viwanja vya Hospitali ya Lugalo.
 
  
 
Imetolewa  na  Kurugenzi  ya  Habari  na  Mahusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P  9203,   Dar es Salaam,  Tanzania.
Kwa Mawasiliano zaidi: 0783-309963