Thursday, October 30, 2014

PSPF YATOA MSAADA WA MABATI 300



PSPF YATOA MSAADA WA MABATI 300
Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Gerald Guninita akipokea msaada wa mabati 200 kutoka kwa mwakilishi wa PSPF kutoka makao makuu Amelia Rwemamu kwa ajili ya ujenzi wa maabara za sayansi katika shule za sekondari wilayani humo, Makabidhiano yalifanyika juzi katika ofisi za wilaya ya Kilolo
 Mkuu wa Wilaya ya Mufindi, Evalista Kalalu akikabidhiwa mabati 100 kutoka kwa mwakilishi wa PSPF Mkoa wa Iringa, Baraka Jumanne kwa ajili ya chuo cha Ualimu Mufindi(MUTCO) kwa ajili ya ujenzi wa Hostel katika chuo hicho zilizotolewa na PSPF katika makabidhiano yaliyofanyika katika viwanja vya chuo hicho.
(picha na Denis Mlowe).