Saturday, October 11, 2014

MAAFISA ELIMU WILAYA WAFUNDWA KUHUSU BRN


MAAFISA ELIMU WILAYA WAFUNDWA KUHUSU BRN
Mkuu wa Kitengo cha Utekelezaji cha MIradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Grace Hoka akitoa maelezo kuhusu miradi ya elimu kwa Maafisa Elimu Wilaya (hawapo Chuo cha Adem mjini Bagamoyo leo.
Meneja wa Sekta ya Elimu katika Kitengo cha Rais cha Usimamizi wa Miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Jenifa Mhando akitoa maelezo kuhusu BRN na miradi ya elimu kwa Maafisa Elimu Wilaya (hawapo pichani) katika kikao chao kilichomalizika kwenye Chuo cha Adem mjini Bagamoyo leo.
Sehemu ya Maafisa Elimu Wilaya wakifuatilia mada kuhusu Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika elimu zilizokuwa zikiwasilishwa na watendaji kutoka Ofisi ya Rais-Kitengo cha Usimamizi wa Miradi ya BRN (hawapo pichani).