Sunday, October 12, 2014

Juma Katundu wa Bendi ya Msondo Ngoma na Amina Said Nguriche 'Queen Emmy' wameremeta



Juma Katundu wa Bendi ya Msondo Ngoma na Amina Said Nguriche 'Queen Emmy' wameremeta
Muimbaji mahiri wa Bendi ya Msondo Ngoma,Juma Katundu na Mai waifu wake Amina Said Nguriche 'Queen Emmy' wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kumeremeta na kuwaka waka katika ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita Kimara mwisho,Jijini Dar es Salaam.