Friday, October 10, 2014

DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA ZANCHICK



DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA ZANCHICK
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Kiongozi wa Kampuni ya ZANCHICK inayojishuhulisha na biashara ya Kuuza  Kuku  (Perdue)kutoka Marekani  Dk.David Elua akiwa na ujumbe wa kampuni hiyo ulipofika Ikulu Mjini Unguja jana kwa mazungumzo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Kampuni ya ZANCHICK inayojishuhulisha na biashara ya Kuuza  Kuku (Perdue) kutoka Marekani unaoongozwa na  Dk.David Elua  katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja jana. [Picha na Ramadhan Othman Ikulu, Zanzibar