Saturday, October 04, 2014

Airtel na UNESCO wazindua radio ya kwanza Uvinza Kigoma


Airtel na UNESCO wazindua radio ya kwanza Uvinza Kigoma
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha redio jamii Uvinza FM chini ya ufadhili wa shirika la UNESCO na Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania, ambapo wanawezesha jamii ziishizo pembezoni mwa nchini kupata mawasiliano ya radio jamii na kuboresha upatikanaji wa taarifa muhimu. wakishuhudia ni Meneja huduma kwa jamii Airtel Hawa Bayumi, Mwakilishi wa shirika la kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Rose Haji, na Mkurugenzi Mtendaji wa Uvinza FM Radio Nuru Kalufya.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya akiongea wakati wa uzinduzi wa redio Jamii Uvinza FM chini ya mradi wa radio jamii unaofadhiliwa na Airtel kwa Kushirikiana na UNESCO. pichani ni Mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya akiwa na wawakilishi wa radio na UNESCO.
Meneja huduma kwa jamii wa Airtel,Hawa Bayumi akiongea wakati wa uzinduzi wa redio Jamii Uvinza FM chini ya mradi wa radio jamii unaofadhiliwa na Airtel kwa Kushirikiana na UNESCO. pichani ni Mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya akiwa na wawakilishi wa radio na UNESCO.
Mwakilishi wa shirika la kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Rose Haji akiongea wakati wa uzinduzi wa redio Jamii Uvinza FM chini ya mradi wa radio jamii unaofadhiliwa na Airtel kwa Kushirikiana na UNESCO. pichani ni Mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya akiwa na wawakilishi wa radio na UNESCO.