Wednesday, September 24, 2014

REDIO 5 WAANDAA HAFLA YA LISHE BORA MONDULI


REDIO 5 WAANDAA HAFLA YA LISHE BORA MONDULI
SAM_0154
Mkuu wa Wilaya ya Monduli,mkoani Arusha,Jowika Kasunga akifungua hafla ya lishe bora iliyoandaliwa na kituo cha redio 5 cha jijini Arusha kwa kushirikiana na wadau wa KABI, AVRDC,Hort Tengeru,Inades formulation pamoja na airish Aid yenya kauli mbiu ya LISHE BORA KWA AFYA yaliyofanyika katika hospitali ya wilaya ya Monduli 
SAM_0147
Meneja masoko wa Redio 5Bi.Sarah Keiya akizungumza katika hafla ya lishe bora iliyoandaliwa na kituo cha redio 5 cha jijini Arusha kwa kushirikiana na wadau wa KABI, AVRDC,Hort Tengeru,Inades formulation pamoja na Airish Aid yenye kauli mbiu ya LISHE BORA KWA AFYA yaliyofanyika katika hospitali ya wilaya ya Monduli .

SAM_0110
SAM_0138
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
SAM_0261 - Copy
Meneja mbunifu wa redio 5 Vicky Mwokoyo kulia,katikati  meneja biashara Angela Maina wakiwa wanamkabidhi vifaa vya upimaji magonjwa kwa mganga mkuu wa hospitali ya wilaya Monduli Zavery Benela   iliyotolewa na kampuni ya  Tan Communication Media  inayo miliki kituo cha  Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha .