Tuesday, September 30, 2014

Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu yamalizika leo


Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu yamalizika leo
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante OleGabriel akiongea na wahitimu wa programu ya kujitolea wa Vyuo Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habar i Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante OleGabriel katikati akimpa Cheti Dada Ndidi Tumpe wakati wa kuhitimisha Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuila ni Mkurugenzi Mkazi wa VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habar i Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante OleGabriel aleyekaa katikati katikapicha ya Pamoja na wahitimu wa Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuila ni Mkurugenzi Mkazi wa VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter.