Thursday, September 04, 2014

BALOZI KAMALA ATEMBELEA KAMPUNI INAYOTENGENGEZA NYUMBA ZA MBAO ZA GHARAMA NAFUU


BALOZI KAMALA ATEMBELEA KAMPUNI INAYOTENGENGEZA NYUMBA ZA MBAO ZA GHARAMA NAFUU
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (aliyevaa miwani) akiwa katika picha ya pamoja na wamiliki wa kampuni ya Ubelgiji inayotengeza nyumba za mbao za gharama nafuu. Wa pili kulia ni Afisa mfawidhi wa Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji Bwana Nyamtara Mukome. Ziara hii imefanyika leo mjini Charleroi  Ubelgiji.