Tuesday, August 19, 2014

Mameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania ziarani nchini Finland


Mameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania ziarani nchini Finland
Mameya na Wakurugenzi wa majiji sita ya Tanzania walioko katika ziara ya mafunzo nchini Finland wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu Meya wa jiji la Helsinki,Hannu Pentila muda mfupi baada ya viongozi hao kutembelea mradi wa ujenzi wa mji wa kisasa wa Kalasatama katika jiji hilo la Helsinki.
Ujumbe wa Mameya na Wakurugenzi kutoka majiji sita ya Tanzania ukitembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa katika mji wa Kalasatama jijini Helsiniki nchini Finland.
Lisa Tervo kushoto kutoka Taasisi ya Uongozi ya Tanzania akitoa maelezo kwa Naibu Meya wa jiji la Helsiniki Hannu Pentila huku Godfrey Nyamurunda (wa pili kushoto) wa taasisi ya Uongozi ya Tanzania akishuhudia
Baadhi ya majengo katika mji wa kisasa wa Kalasatama, Helsinki.