Sunday, August 03, 2014

MAFUNZO YA AWALI KWA WATUMISHI WA HUDUMA ZA MKOBA WA UZAZI YAMALIZIKA JIJINI DAR



MAFUNZO YA AWALI KWA WATUMISHI WA HUDUMA ZA MKOBA WA UZAZI YAMALIZIKA JIJINI DAR
Mkurugenzi Mkazi wa Marie Stopes Tanzania, Ulla Muller (kushoto) akielezea jambo wakati akifunga mafunzo ya awali ya IT kwa watumishi wa huduma za MKOBA wa uzazi wa mpango kutoka Mikoa mbalimbali nchini Tanzania.hafla hiyo ya ufungaji mafunzo ilifanyika 2 Agositi 2014 katika chuo cha CBE jijini Dar es Salaam, wakwanza kulia Mhadhiri Msaidizi (ICT), Godfrey Mwandosya, Mkuu wa Idara ya Tekenolojia ya Habari na Mawasiliano.Alex Mwijika, Kaimu Mkuu wa Idara Mathematics (ICT), Nzomwe Mazana.
Mhadhiri Msaidizi ICT, Ogakhan Nyamu akisisitiza jambo wa hafla hiyo.
watumishi huduma za MKOBA wa uzazi wa mpango kutoka Mikoa mbalimbali nchini Tanzania walioitimu mafunzo ya IT wakisikiliza Mkurugenzi Mkazi wa Marie Stopes Tanzania, Ulla Muller, wakati akifunga mafunzo hayo. PICHA NA PHILEMON SOLOMON