Saturday, July 26, 2014

Wajumbe Bunge Maalum kupigania usawa na mgawanyo wa rasilimali



Wajumbe Bunge Maalum kupigania usawa na mgawanyo wa rasilimali
Mjumbe wa Bunge Maalum la                  Katiba, Fedrick Msigala akizungumza na wanahabari mara                  baada ya Mkutano wao na Mtandao wa Wanawake na Katiba                  uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es                  Salaam. 
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Fredrick Msigala akizungumza na wanahabari mara baada ya Mkutano wao na Mtandao wa Wanawake na Katiba uliofanyika katika Hoteli ya Golden Tulip jijini Dar es Salaam.Baadhi ya Wajumbe                  wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano                  wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na                  Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden                  Tulip ya jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Mtandao wa                  Wanawake na Katiba, Usu Mallya akiongoza majadiliano                  katika Mkutano wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na                  Mtandao wa Wanawake na Katiba. 
Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba, Usu Mallya akiongoza majadiliano katika Mkutano wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na Mtandao wa Wanawake na Katiba.
Baadhi ya Wajumbe wa                  Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa                  majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba                  wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip                  ya jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam.Baadhi ya Wajumbe wa Bunge                  Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa                  majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba                  wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip                  ya jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioshiriki katika mkutano wa majadiliano uliondaliwa na Mtandao wa Wanawake na Katiba wakiwa katika majadiliano katika Hoteli ya Golden Tulip ya jijini Dar es Salaam.