Sunday, June 01, 2014

MRADI WA ULINZI SHIRIKISHI WASHIKA KASI MKOANI TABORA



MRADI WA ULINZI SHIRIKISHI WASHIKA KASI MKOANI TABORA
Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora SACP Suzan Kaganda leo tarehe 01/06/2014 ametoa T-shirts mia moja kwa vikundi vya ulinzi shirikishi wilaya ya Kaliua mkoa wa Tabora.
 Baadhi ya wawakilishi wa kikundi cha ulinzi shirikishi 
wilayani  Kaliua wakionesha T-shirts walizopewa na RPC Tabora
 kamanda wa polisi mkoa wa Tabora ACP Suzan Kaganda akitoa T-shirts kwa kikundi cha ulinzi shirikishi wilayani Kaliua