Monday, May 26, 2014

WAZIRI MKUU MHE. PINDA AHUDHURIA IBADA UA UMWEKA WAKFU ASKOFU WA MORAVIAN JIMBO LA RUKWA


WAZIRI MKUU MHE. PINDA AHUDHURIA IBADA UA UMWEKA WAKFU ASKOFU WA MORAVIAN JIMBO LA RUKWA
PG4A0458 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpongeza Askofu Conrad Ernest Nguvumali baada ya kuwekwa Wakfu kuwa Askofu wa Kanisa la Moravian jimbo la Rukwa katika ibada iliyofanyika kwenye uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga  May 25, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A0514Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akimkabidhi zawadi ya picha, Askofu wa Kanisa la Moraviani jimbo la Rukwa, Conrad Ernest katika ibada ya kumwapisha  askofu huyo iliyofanyika  kwenye uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga May 25,2014.. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)