Operesheni safisha CCM yaendelea baada ya vigogo wengi kutupwa nje panga hilo lamkuta Waziri wa Sheria na Katiba Mathias Chikawe (pichani)ambaye pia amegaragazwa vibaya nafasi ya NEC CCM wilaya ya Nachingwea pamoja na Mwenyekiti
Mwandishi wetu Abdulaziz Video anaripoti kuwa ,Hata hivyo .MNEC alieshinda Fadhil azimia na kukimbizwa hospital kwa matibabu baada ya kutoamini kilichotokea kwa kumshinda waziri huyo.
Mbali na Fadhil kushinda pia Mzee wa viboko,Mkuu wa wilaya Mstaafu Bw Mnali akishinda kiti cha Uenyekiti wa wilaya
Matokeo ya uchaguzi huo ni kama hivi NEC alipata kura 749 na Chikawe kura 503 huku Mnali
akipata kura 948 na Ndg Kamlo mwenyekiti alieangushwa akiambulia kura
Mwandishi wetu Abdulaziz Video anaripoti kuwa ,Hata hivyo .MNEC alieshinda Fadhil azimia na kukimbizwa hospital kwa matibabu baada ya kutoamini kilichotokea kwa kumshinda waziri huyo.
Mbali na Fadhil kushinda pia Mzee wa viboko,Mkuu wa wilaya Mstaafu Bw Mnali akishinda kiti cha Uenyekiti wa wilaya
Matokeo ya uchaguzi huo ni kama hivi NEC alipata kura 749 na Chikawe kura 503 huku Mnali
akipata kura 948 na Ndg Kamlo mwenyekiti alieangushwa akiambulia kura