Thursday, October 04, 2012

KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI WA MKOA MBEYA KINAENDELEA KATIKA UKUMBI WA MKAPA JIJINI MBEYA


Mkuu wa mkoa Mbeya ambaye pia ni mwenyetiki wa kikao hicho Abasi Kandoro akifungua kikao kikao cha kamati ya ushauri wa mkoa Mbeya

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) Phillip Saliboko aliye simama akizungumza na kamati ya ushauri wa mkoa Mbeya, akielezea kuhusu umuhimu wa usajili wa kizazi na kuwa na cheti cha kuzaliwa.
Anasema ni haki ya mtoto kisheria kutambuliwa na kuandikishwa mara tu anapozaliwa.

Wajumbe wa kamati hiyo wakiwa makini kusikiliza



Afisa habari wa ofisi ya mkuu wa mkoa mbeya Sara akiwa makini kwa nje kusikiliza hotuba ya mkuu wa mkoa Mbeya

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) Phillip Saliboko akizungumza na waandishi wa habari baada ya kikao hicho