Wednesday, September 19, 2012

Waingizaji Wa Madawa Toka China Wakutana Dar



 

 

 
 Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki  wa kuleta dawa na vifaa tiba kutoka kwa wafanyabiashara wa uingizaji na usafirishaji wa  madawa na  vifaa tiba kutoka China  wakifuatilia mada mbalimbali katika mkutano huo wa siku moja jijini Dar es Salaam Sept.19.2012
 
 Makamu wa Rais wa chama cha wafanyabiashara wa Uingizaji na Usafirishaji wa dawa na vifaa tiba kutoka China (CCCMHPIE)  Meng Dongping akizungumza  Sept 18,2012 katka mkutano wa wafanyabiashara wa Uingizaji na Usafirishaji wa bidhaa hizo kutoka nchini China  amesema Tanzania ni nchi ya 11 katika ushirikiano wa kibiashara wa bidhaa hizo barani Afrika na nchi ya pili kwenye soko la bidhaa hizo wa nchi za EAC. ambapo katika kipindi cha miezi 6 cha mwaka 2012 ukuaji wa soko la bidhaa hizo nchini Tanzania umefikia dola za  Marekani milioni 32.61 sawa na asilimia 47
 
 Makamu wa Rais wa chama cha Wafanyabiashara wa Uingizaji na  Usafirishaji wa dawa na vifaa tiba kutoka China (CCCMHPIE) Meng Dongping (kulia) akizungumza na  Mkurugenzi Mkuu wa  Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa nchini (TDFA) Haiiti Sillo katika mkutano huo wa siku moja jijini Dar- es -Salaam (Sept.18,2012)
 
 Mdau  wa mkutano huo kutoka (MSD ) nchini, Cosmas Mwaifani akiwasilisha mada yake katika mkutano huo wa siku moja jijini Dar es Salaam, (Sept. 18,2012
 
 
Picha ya pamoja.
 Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.)