Thursday, September 13, 2012

Vodacom Na Precision Air Waendesha Bahati Nasibu



 
 Meneja Mawasiliano wa shirika la ndege la Precision Annette Nkini  (wa pili toka kushoto), kimsisitiza jambo Sarah Nadhan Mwanjelele baada ya kumkabidhi tiketi ya kwenda Afrika Kusini aliyoipokea kwa niaba ya mume wake Lusako Mwanjejele aliyoshinda katika  bahati nasibu ya kampeni ya MOYO iliyoendeshwa  na wafanyakazi wa Idara ya Masoko ya Vodacom na Precision Air mapema mwaka huu,wanaoshuhudia kushoto ni Elizabeth Mtegwa na kulia ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu
 
 Meneja Mawasiliano wa shirika la ndege la Precision Annette Nkini (wa pili toka kushoto),akimkabidhi Sarah Nadhan Mwanjelele,tiketi ya kwenda Afrika Kusini aliyoipokea kwa niaba ya mume wake Lusako Mwanjejele aliyoshinda katika  bahati nasibu ya kampeni ya MOYO iliyoendeshwa  na wafanyakazi wa Idara ya Masoko ya Vodacom na Precision Air mapema mwaka huu kwa ajili ya matibabu ya wakina mama walioadhirika kwa ugonjwa wa fistula,wanaoshuhudia kushoto ni Elizabeth Mtegwa na kulia ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu.
 
 Meneja Mawasiliano wa shirika la ndege la Precision Annette Nkini (wa kwanza toka kushoto),akijadiliana na Sarah Nadhan Mwanjelele watatu toka kushoto kuhusu zawadi ya tiketi ya kwenda Afrika Kusini aliyoipokea kwa niaba ya mume wake Lusako Mwanjejele aliyoshinda katika  bahati nasibu ya kampeni ya MOYO iliyoendeshwa  na wafanyakazi wa Idara ya Masoko ya Vodacom na Precision Air mapema mwaka huu kwa ajili ya matibabu ya wakina mama walioadhirika kwa ugonjwa wa fistula,wanaoshuhudia wa pili toka kushoto ni Elizabeth Mtegwa, kulia ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu.
 
Baadhi ya washindi wa tiketi ya kwenda Afrika Kusini waliyoshinda katika  bahati nasibu ya kampeni ya MOYO iliyoendeshwa  na wafanyakazi wa Idara ya Masoko ya Vodacom na Precision Air mapema mwaka huu,wakiwa kwenye picha ya pamoja na Meneja Masoko wa shirika la ndege la Precision Linda Chiza wapili toka kushoto,Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu.