Saturday, September 29, 2012

Taswira Ya Nyumba Za Asili Za Wahaya, Nyegera Waitu Bukoba



Ujenzi wa nyumba za asili za wahaya nyumba maarufu kama 'Omushonge' (msonge) Picha kwa hisani ya J. Kempanju ambae ni mdau nambari moja wa MjengwaBlog kwenye kijiji cha Itahwa- Bukoba.Taswira zaidi za kutoka Itahwa mtaziona hapa blogini.