Wednesday, August 22, 2012

WAFANYABIASHARA WA WILAYA MPYA YA MOMBA WAOMBA WASILAZIMISHWE KUFUNGA BIASHARA ZAO WAKATI WA MIKUTANO WILAYANI HAPO



 
Askari wakibishana na mfanyabiashara juu ya uhalali wakufunga biashara zao wakati wa mikutano
 
Mgambo akipita duka hadi duka kulazimisha wafanyabiashara kufunga na kwenda katika mukutano uliyofanyika kata ya chitete
 
Hapa baadhi ya wafanyabiashara wakielekea eneo la mkutano baada ya kulazimishwa kufunga biashara zao

Kwa Hisani Ya Mbeya Yetu