Friday, July 06, 2012

Nafasi za Kazi ya kuuza bidhaa mtaani

Tunahitaji vijana kwa ajili ya kuuza bidhaa zetu (vitabu) kwa kutembeza mtaani ( kwenye maofisi, mabaa, vyuoni, barabarani, njiani nk). Kwa wanahitaji , tafadhali wasiliana nasi kwa:
La VIVA BOOK PROJECT
P.O BOX 79119
Dar Es Salaam
Mob : 0657 10 12 14

Mshahara : Tsh 300,000 kwa mwezi.

Sifa za mwombaji:
- Awe mtanzania
- Ajue kusoma na kuandika kwa ufasaha
- Awe na umri usiopungua miaka 18
- Awe muaminifu
- Awe tayari kufuata taratibu za kazi atakazopewa.