MAMIA ya waombelezaji bado wanazidi kumiminika nyumbani kwa aliyekuwa muigizaji maarufu nchini, Steven Charles Kanumba maeneo ya Sinza Vatican, jijini Dar huku viongozi wa nyadhifa mbalimbali serikalini wakipishana.
PICHA ZOTE: IMELDA MTEMA NA GLADNESS MALLYA/GPL
KWA HISANI YA GPL.