Monday, April 09, 2012

Pinda aomboleza Kifo cha Steven Charles Kanumba


  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya waombolezaji wakati alipokwenda nyumbani kwa marehemu Steven Kanumba Sinza Vatican jijini Dar es salaam leo kutoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisaini kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa  mwigizaji  mahiri nchini, marehemu Steven  Kanumba, nyumbani kwake, Sinza jijini Dar es salaam. 
 Waziri Mkuu,Mizengo  Pinda  akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt.Rehema Nchimbi  baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Aprili 9,2012 kuhudhuria kikao cha Bunge  kinachotarajiwa kuanza 
kesho asubuhi. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu